Publications
Kwani? Series
Kizuizini

Kwani? Series

Kizuizini

Author: Joseph Muthee
Editor: Simiyu Barasa
Genre: History / Biography
ISBN: 9966-9836-7-8
No. of pages: 266
Size of book: 198mm x 128mm
Price: Ksh 500 ($17)
Year of Publication: 2006

" Licha ya kuitwa ‘mwanangu’ na mzungu aliyemwajiri, Aprili 10 1954 Joseph Muthee alihadaiwa na mwajiri wake Kepteni C.O’Hagan, mlowezi aliyemiliki mashamba Lusoi, eneo la Nyeri, Mkoa wa Kati nchini Kenya, na kukabidhiwa kwa serikali ya mbeberu akituhumiwa kwa kuwa mmoja wa Mau Mau, mashujaa waliopigania uhuru wa Kenya. Kwa miaka mitano iliyofuatia, Muthee alipitia Vizuizi tofauti alopoitwa Mau Mau sugu.

‘Kiziuzini,’ kinanukuu maisha wakati wa Ukoloni nchini Kenya na haswa wakati wa Hali ya Hatari. Na jahazi linalomsafirisha msomaji kwa umahiri toka kwa ustaarabu wa Walowezi Waingereza siku zilizotangulia Uhuru wetu, maisha ya vijakazi wao Wafrika, upiganiaji wa uhuru, Mau Mau na ujasusi wao japo bila zana za kiteknolojia, uvumilivu wa Wakenya kutafuta haki za kibinadamu dhidi ya mbeberu, mashujaa na wasaliti vitatange katika mapambano ya kuikomboa Kenya. "

Written in Swahili, ‘Kizuizini’ is a story of endurance and the struggle for freedom written by Joseph Muthee who survived 7 detention camps during the Mau Mau struggle.

Muthee is the only living survivor who went through all of Kenya’s colonial detention camps. This is his story.

In 2007 Kiziuzini was awarded the Jomo Kenyatta Prize for Literature, Literature For Adult’s Kiswahili Category, 2nd Prize.

Joseph MutheeJoseph Muthee was born in 1928. He spent seven years in detention during the Kenyan Emergency. He was taken in at the age of 23 and emerged, at 30, a man mature beyond his years. In prison he endured casual torture and hardship, hunger and precariousness. He currently lives and works as a farmer in Nyeri, Kenya.

Book Order Form

Fields marked * are required

* Your name:
* E-mail address:
Tel/Mobile:
* Quantity:
Inquiry: